1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Upinzani Tanzania waupania uchaguzi wa serikali za mitaa

26 Agosti 2024

Siku chache baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa serikali za mitaa nchini Tanzania, vyama vya upinzani katika taifa hilo la Afrika Mashariki limeuvalia njuga uchaguzi huo vikionesha mwamko wao katika kushiriki ilhali vikijipanga kuondoa mikwamo wanayodhani itazuia ushindi wao. Sikiliza ripoti ya Florence Majani kutoka Dar es Salaam.

https://p.dw.com/p/4jvMs