1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ujerumani yafunga shughuli kupambana na corona

16 Desemba 2020

Ujerumani imeripoti idadi ya juu zaidi ya vifo ya watu 952 ndani ya saa 24 zilizopita kutokana na virusi vya corona. Ripoti hizi zinaarifiwa wakati imeanza kutekeleza masharti ya kuzuia kusambaa kwa virusi vya corona. Video hii itakuonyesha mengi zaidi. #Kurunzi

https://p.dw.com/p/3modh