1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari, saa 12:00 asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
6 Januari 2021

https://p.dw.com/p/3nYNf

-Ujerumani imerefusha hatua kali za kuzuia kusambaa virusi vya corona hadi Januari 31.

-Kura zinaendelea kuhesabiwa katika uchaguzi wa marudio wa seneti jimboni Georgia, Marekani, wagombea wakionekana kukaribiana.

-Wagombea wa upinzani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati wataka matokeo ya uchaguzi wa Desemba 27 yafutwe.