1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari, saa 12:00 asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
17 Septemba 2020

https://p.dw.com/p/3iaX0

-Mkuu wa serikali ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa amesema atakabidhi madaraka ifikapo mwishoni mwa Oktoba.

-Mamia ya watu wamelazimika kuokolewa baada ya kimbunga Sally kutua kwa kishindo katika majimbo ya Alabama na Florida huko Marekani.


-Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amesema muswada wake uliozua utata kuhusu soko la ndani umefanyiwa marekebisho.