1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 06.10.2020

6 Oktoba 2020

Rais wa Marekani, Donald Trump ameruhusiwa kutoka hospitali alikokuwa akitibiwa ugonjwa wa COVID-19 // Umoja wa Mataifa umezihimiza nchi zenye nguvu duniani kuheshimu marufuku ya silaha Libya // Serikali ya mpito iliyopewa jukumu la kuirejesha Mali katika utawala wa kiraia imetangazwa, huku baadhi ya wanajeshi wakiteuliwa kushika wizara nyeti

https://p.dw.com/p/3jTss