1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 03.12.2020

3 Desemba 2020

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres ameikosoa jumuia ya kimataifa kwa kushindwa kupambana na ongezeko la joto duniani // Rais wa zamani wa Ufaransa Valery Giscard d'Estaing amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 94 // Takriban viongozi 100 wa dunia wanatarajiwa kuzungumza katika kikao maalum cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu COVID-19

https://p.dw.com/p/3m9bP