Ivory Coast yajiandaa kwa uchaguzi muhimu wa bunge. Watetezi wa haki za wanawake katika mkoa wa Kivu kusini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo walalamika juu ya unyanyasaji na mauaji ya wanawake wakongwe, wanaohusishwa na uchawi. Ni wikiendi nyingine ya michuano ya Soka la Ujerumani Bundesliga.