You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Bunge
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Maoni: Mchakato wa Brexit Je safari hii Bunge litauridhia?
Katika maoni yake mwandishi wetu wa DW Barbara Wesel anasema mivutano kuhusu Brexit bado ipo nchini Uingereza.
Bunge la Uingereza kujadili Makubaliano mapya
Bunge la Uingereza kujadili Makubaliano mapya Jumamosi
Merkel: Ujerumani haitopeleka silaha yoyote nchini Uturuki
Suluhisho la Brexit bado kizungumkuti
Brexit kizungumkuti. Malkia alifungua bunge.
Wanadiplomasia wa Umoja wa UIaya wanasema bado hakuna dalili ya makubaliano kamili ya Brexit kufikiwa wiki hii.
Uingereza huenda ikaomba muda zaidi wa mchakato wa Brexit
Johnson huenda akaomba kuongezwa muda wa mchakato wa Brexit iwapo makubaliano hayatafikiwa hadi Octoba 19.
Wabunge wausasambua mpango wa brexcit wa Boris Johnson
Waziri mkuu Boris Johnson ashikilia msimamo wake wa kutaka kuiondowa Uingereza Umoja wa Ulaya Oktoba 31 kivyovyote vile.
Kuaga kwa Spika na mgogoro wa bunge
John Bercow alikuwa mlezi wa bunge la Uingereza, ambalo halijawahi kushambuliwa kama ilivyotokea chini ya Boris Johnson.
Serikali ya Uingereza yaahirisha bunge lake kwa wiki tano.
Uingereza imeahirisha vikao vyake vya bunge na kuwapa wabunge likizo ya wiki tano huku mzozo wa Brexit ukiendelea.
Wabunge nchini Uingereza wamuangusha tena Boris Johnson
Vuta ni Kuvute kati ya waziri mkuu Johnson na wanaompinga yaendelea baada ya kushindwa kwake bungeni ataka umma umsaidie
Wabunge wa Uingereza waamua hakuna uchaguzi wa mapema
Pia wapitisha muswada wa kupinga Brexit iiyo na makubaliano
Wabunge Uingereza wajipanga kumdhibiti Waziri Mkuu Johnson
Kura hiyo inamaanisha pia kwamba uchaguzi wa mapema si jambo lisilowezekana tena.
Johnson apata pigo kura ya kuzuia Brexit ya bila makubaliano
Waziri mkuu Johnson huenda akaitisha uchaguzi wa mapema
Uingereza: Wabunge kupiga kura kuchelewesha tena Brexit
Bunge la Uingereza limeanza shughuli zake leo Jumanne baada ya mapumziko ya kipindi cha kiangazi.
London: Maalfu kuandamana kupinga kusimamishwa bunge
Hatua ya Waziri MKuu Boris Johnson ya kusimamisha Bunge yakabiliwa na chanagmoto za kisheria mahakamani.
Hali ya kisiasa yazidi kuwa ngumu Uingereza
Kesi ya kisheria ya kuzuwia uamuzi wa Johnson waahirishwa
Boris Johnson aamua bunge lisitishe vikao kwa muda
Baadhi ya viongozi wataka Boris adhibitiwe la sivyo demokrasia ya Uingereza itakuwa mashakani
Bunge la India kuidhinisha sheria mpya kuhusu Kashmir
Bunge la India kuidhinisha sheria mpya kuhusu Kashmir
Boris Johnson: Uingereza kuondoaka Umoja wa Ulaya Oktoba 31
Boris Johnson aliyasema hayo katika hotuba yake ya kwanza bungeni kama Waziri Mkuu.
Merkel asherehekea miaka 65 ya kuzaliwa
Kansela Merkel atimiza miaka 65 ya kuzaliwa
Maoni: von der Leyen ndie rais mpya wa halmashauri ya Ulaya
Von der Leyen anakuwa rais mpya wa halmashauri ya Umoja wa Ulaya
Bunge la Ulaya lamthibitisha Von der Leyen
Bunge la Ulaya limepiga kura 383-327 huku wabunge 22 wakiwa hawapo kuidhinisha uteuzi wa von der Leyen.
Mkutano kuhusu nafasi za juu za Umoja wa Ulaya waahirishwa
Bado haijawezekana kufikia makubaliano katika mwelekeo ambao ni muhimu kwa nchi zote wanahama wa Umoja wa Ulaya.
Nyadhfa za juu katika Umoja wa Ulaya bado zajadiliwa
Mpaka sasa ni wagombea watatu ndio wana nafasi nzuri ya kupewa nyadhfa hizo za juu lakini mazungumzo bado yanaendelea.
Rais Trump asitisha kuishambulia Iran
Rais wa Marekani Donald Trump amesitisha hatua ya kuishambulia Iran muda mfupi baada ya kutoa idhini ya kufanya hivyo.
Nini kitarajiwe baada ya Israel kulivunja bunge?
null
Bunge la Israel lavunjwa na kuitishwa uchaguzi mpya
Uchaguzi mpya wa Israel kufanyika septemba
Spitzenkandidaten: Mpambano wa nafasi za juu EU
Viongozi wakuu wa mataifa ya Umoja wa Ulaya wako mjini Brussels kujadili mgawanyo wa nafasi za uongozi.
Nani akabidhiwe wadhifa gani katika Umoja wa Ulaya
Nani akabidhiwe wadhifa gani katika Umoja wa Ulaya
Kinyang'anyiro cha Madaraka baada ya Uchaguzi wa Ulaya
Kinyang'anyiro cha Madaraka baada ya Uchaguzi wa Ulaya
Maoni: Mustakabali wa mashaka kwa serikali ya Merkel
null
Uchaguzi EU: Ni mchanganyiko wa vilio na furaha
Kukubalika kwa vyama hivyo kumekuja kwa gharama ya vyama vikuu na vikongwe.
Uchaguzi Ulaya: Vyama vikuu vyapata pigo, Kijani wapeta
Vyama vya siasa kali za mrengo wa kulia pia vimepata kura nyingi katika uchaguzi huu.
Vyama vya siasa kali vyahofiwa kuongeza viti Bunge la Ulaya
Chama tawala cha Conservative na cha upinzani cha Labour nchini Uingereza vyahofia kubwagwa na wenye siasa kali.
Uchaguzi wa Bunge la Ulaya waendelea
Ujerumani na Ufaransa zinapiga kura leo kuchaguwa wabunge wa Bunge la Ulaya.
Hatua ya mwisho ya uchaguzi wa Bunge la Ulaya
null
Uchaguzi wa Bunge la Ulaya Ireland na Jamhuri ya Cheki
Uchaguzi wa Bunge la Ulaya Ireland na Jamhuri ya Cheki
Uchaguzi wa bunge la Ulaya waanza Uholanzi na Uingereza
Uchaguzi unaleta hali ya kupimana nguvu kati ya wanaoendeleza siasa za kizalendo na wanaotaka Umoja wa Ulaya uimarishwe.
Brexit: Kiongozi wa baraza la wawakilishi Uingereza ajiuzulu
Kiongozi wa baraza la wawakilishi, Uingereza Andrea Leadsom amejiuzulu.Akosa imani na mipango ya Brexit.
Propaganda za siasa kali kuathiri uchaguzi wa bunge la Ulaya
Bunge la Ulaya na siasa kali dhidi ya wageni
Uchaguzi wa Bunge la Ulaya
Wananchi wa Sweden wanaufuatilia vipi uchaguzi huo na yapi yamejitokeza zaidi katika kampeni zilizokwisha anza. Kufahamu mengi Sylvia Mwehozi amezungumza na mkaazi wa huko, Mccowell Kalisa.
Wagiriki wanavyojitayarisha kuelekea Uchaguzi wa Bunge la Ulaya
Tarehe 23 Mei, wapiga kura kwenye mataifa wanachama wa Umoja wa Ulaya wataanza kuwachaguwa wabunge wa kuwawakilisha kwenye Bunge la Ulaya. Mohammed Khelef amezungumza na Kayu Ligopora, Mtanzania anayeishi kwenye mji mkuu wa Ugiriki, Athens, kutaka kujuwa namna Wagiriki wanavyojitayarisha kuelekea uchaguzi huo muhimu kwa siasa za Ulaya.
Kampeni ya uchaguzi wa bunge la Ulaya
Kampeni ya uchaguzi wa bunge la Ulaya zimeshaanza katika nchi mbalimbali wanachama. Je, ni masuala gani yanayojitokeza mno kwenye kampeni hizo? Ili kupata taswira kamili, John Juma amezungumza na Hashil Seif ambaye ni raia wa Denmark na kwanza anazungumzia vyama vyenye ushindani mkali nchini humo.
Waafrika wanavyofuatilia uchaguzi wa Umoja wa Ulaya
Kampeni za uchaguzi wa Umoja wa Ulaya zimeshika kasi. Wapiga kura katika nchi wanachama wa umoja huo watateremka vituoni Mei 23-26, kulichagua bunge jipya. DW imezungumza na Mohamed Saleh, mkaazi wa mjini Paris, Ufaransa kutaka kujua hali jumla kuelekea uchaguzi huo na jinsi wakaazi wasio na asili ya Ufaransa hususan kutoka Afrika wanavyoufuatilia.
Bunge la Marekani latishia kumwajibisha Mwanasheria Mkuu
Katika hali isiyo ya kawaida, Kamati ya Sheria ya Bunge la Marekani ilijikuta ikizungumza na kiti kitupu.
Uhispania baada ya Uchaguzi wa Bunge
Uhispania baada ya Uchaguzi wa Bunge
Rais Trump atumia kura ya turufu kupinga azimio la bunge
Spika wa bunge la Marekani Nancy Pelosi amesema uamuzi wa Rais Trump maana yake ni kuendelea kwa vita vya Yemen.
Bunge la Misri kuidhinisha mageuzi ya katiba
Wapinzani wanasema hatua ya bunge inapania kuirudisha nchi katika utawala wa kiimla kwa kumpa nafasi rais Sisi kubakia
Michel Barnier:Uingereza hatarini kutoka EU bila makubaliano
Kiongozi wa mjadala wa Brexit Umoja Ulaya Michel Barnier aonya hatari ya Uingereza kuondoka EU bila Makubaliano
Wabunge wa Uingereza wapinga mapendekezo mbadala ya Brexit
Chama cha DUP kimesema mpango wa Theresa May ni hatari kwa umoja kati ya Ireland na majimbo mengine ya Uingereza.
Wabunge wa Uingereza wampinga Waziri Mkuu Theresa May
Baadhi ya wajumbe wa chama chake cha Kihafidhina wamtaka Waziri Mkuu May ajiuzulu nafasi yake.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 7 wa 13
Ukurasa unaofuatia