You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Bunge
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Wabunge wa Marekani wavutana kuhusu matumizi ya serikali
Waziri wa Fedha wa Marekani Timothy Geithner ametoa mwito wa dharura kwa wabunge kukubaliana kiwango cha juu cha deni la taifa.
Bunge la Uingereza lamtaka Murdoch kutoinunua BSkyB
Bunge la Uingereza linatarajiwa kupitisha hoja binafasi ya chama kikuu cha upinzani Labour kumtaka Rupert Murdoch kujitoa kwenye zabuni ya ununuzi wa kituo cha utangazaji cha BskyB.
Bunge la Ugiriki kuupigia kura mpango wa kubana matumizi
Licha ya upinzani mkubwa kutoka kwa wananchi, bunge la Ugiriki linatarajiwa leo (29.06.2011) kuupitisha mpango wenye utata wa kubana matumizi unaopigiwa debe na Umoja wa Ulaya na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF).
Schäuble Griechenland Hilfe
Bunge la Ujerumani lauridhia mpango wa pili wa kuisaidia Ugiriki
Obama ahutubia bunge la Uingereza
Rais Barack Obama wa Marekani amelihakikishia bara la Ulaya kuwa litaendelea kuwa sehemu muhimu katika sera za Marekani za mambo ya kigeni.
Chama tawala nchini Nigeria chapoteza wingi wa wabunge
Chama cha rais Goodluck Jonathan kimepata upinzani mkali katika uchaguzi uliofanyika jana Nigeria. Kulitokea matatizo ya hapa na pale lakini waangalizi wameridhika.
Wananchi wa Nigeria leo kuwachagua wabunge
Wanigeria leo wanapiga kura kuchagua bunge jipya katika mfululizo wa chaguzi zitakazofanyika hadi Aprili 16.
WAGANDA WANAPIGA KURA LEO KUMCHAGUA RAIS NA WABUNGE
Watu wa Uganda leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu ambapo watawachagua Rais na Bunge jipya. Hata hivyo wachunguzi wanasema Rais wa hadi sasa Yoweri Museveni anatarajiwa kuchaguliwa tena.
Uongozi wa kijeshi Misri walivunja bunge
Uongozi mpya wa kijeshi nchini Misri umetangaza kulivunja bunge na kusimamisha katiba, siku mbili baada ya kujiuzulu rais wa nchi hiyo, Hosni Mubarak.
Spika mpya wa bunge aeleza ajenda ya Warepublikan
Bunge jipya la Marekani limekutana kwa mara ya kwanza,kufuatia uchaguzi uliofanyika mwezi wa Novemba.
Bunge la Duma lajiandaa kuuidhisha mkataba wa START,Urusi
Bunge la Urusi, Duma, linajiandaa kuijadili hatua ya kuuidhinisha mkataba wa kihistoria ulio na azma ya kuyapunguza matumizi ya silha za nyuklia ulimwenguni.
Bunge la Urusi huenda likauidhinisha mkataba wa START
Mkataba huo ni kwa ajili ya kupunguza matumizi ya silaha za nyuklia kati ya Marekani na Urusi.
Baraza la Seneti Marekani lauridhia mkataba na Urusi
Baraza la seneti la Marekani liumeridhia mkataba mpya wa kupunguza umiliki wa vichwa vya nyuklia kati ya nchi hiyo na Urusi uitwao START
Mkataba wa START huenda ukaidhinishwa leo na baraza la Seneti
Rais Dmitry Medvedev wa Urusi amesema kuwa anamatumaini baraza la Seneti la Marekani litauidhinisha mkataba wa START
Baraza la seneti launga mkono mkataba wa START
Uidhinishaji wa mkataba wa START kati ya Marekani na Urusi unakaribia kukamilika, baada ya baraza la seneti kukamilisha mjadala na leo utapigiwa kura.
Uchaguzi wa bunge nchini Marekani
Chama cha Republican cha shinda katika baraza la wawakilishi kwenye uchaguzi wa bunge na magavana
Bunge la Ufaransa lapiga maarufuku vazi la "Burqa"
Ufaransa imekuwa nchi ya kwanza barani Ulaya kupiga marufuku vazi linalovaliwa na baadhi ya wanawake wa Kiislamu kufunika viwiliwili vyao, linaloujikana kama Burqa.
Barroso alihutubia bunge la Ulaya kuhusu hali ya Umoja wa Ulaya
Rais wa Halmashauri ya Umoja wa Ulaya, Jose Manuel Barosso, kwa mara ya kwanza amelihutubia bunge la Ulaya kuhusu hali halisi ya umoja huo mjini Strasbourg
Uchaguzi wa baraza la seneti wafanyika leo Burundi
Vyama vya upinzani havijabanduka ktuoaka msimamo wake wa kugomea chaguzi kwa madai kwamba serikali inafanya mizengwe katika chaguzi
Uchaguzi wa bunge Burundi wakamilika
Idadi ya Warundi waliojitokeza ni ndogo ikilinganishwa na uchaguzi wa serikali za mitaa na ule wa rais
Burundi yajiandaa kwa uchaguzi wa bunge Ijumaa ijayo
Wagombea wa vyama vya upinzani wametishia kuugomea uchaguzi huo
Bunge la shirikisho na baraza la wawakilishi wa majimbo yaidhinisha msaada wa Ujerumani kwa Ugiriki
Ujerumani yaidhinisha msaada wa mabilioni ya Euro kuinusuru Ugiriki isifilisike-viongozi wa zoni ya Euro wanakutana baadae leo mjini Brussels
Wabunge wa Ujerumani waipitisha bajeti
Wabunge wa Ujerumani leo wameipitisha bajeti ya waziri wa fedha Wolfgang Schäuble.
Bunge la Ujerumani laridhia askari zaidi Afghanistan
Ujerumani imeamua kuongeza idadi ya wanajeshi wake wanaolinda amani nchini Afghanistan.
Bunge la Ulaya laonyesha musuli zake
Hiyo jana Bunge la Ulaya lilifanikiwa kubatilisha makubaliano yaliyoiruhusu Marekani kujipatia data za benki za mamilioni ya wakaazi wa Ulaya kwa kupitia mfumo wa SWIFT unaotumiwa kutuma pesa kati ya benki.
270110 Obama Rede
Rais wa Marekani Barack Obama amelihutubia bunge la nchi yake kwa mara ya kwanza tangu aingie madarakani mwaka mmoja uliopita.Hotuba yake ilijikita katika masuala ya kuuimarisha uchumi,kuunda nafasi mpya za kazi
Baraza la wawakilishi lakutana visiwani Zanzibar
Kiongozi wa Chama kikuu cha upinzani cha CUF katika Baraza la wawakilishi la Visiwani Zanzibar, huko Tanzania, Abubakar Khamis Bakary, amepeleka ombi kwa spika wa baraza hilo.
Seneti ya Marekani yachukua hatua ya kihistoria.
Baraza la Seneti leo limepitisha mswada wa kuleta mageuzi katika bima ya afya nchini Marekani.
Bunge la Ujerumani larefusha jukumu la ATALANTA
ATALANTA-Vita dhidi ya maharamia Pembe ya Afrika.
Rais Karume ateua wawakilishi wawili toka chama cha CUF
Hatimaye Rais Aman Abeid Karume wa Zanzibar amewateua wajumbe wawili wa chama cha upinzani CUF kujiunga na Baraza la wawakilishi.
Mjadala wa bunge kuhusu jukumu la jeshi la Ujerumani nchini Afghanistan
Kadhia ya kuripuliwa malori yaliyotekwa nyara Kundus na kugharimu maisha ya watu 140,yamgharimu wadhifa wake mkuu wa vikosi vya Ujerumani na katibu wa dola mmoja
Uchaguzi wa bunge nchini Niger
Wapiga kura wanaitika mwito wa upande wa upinzani na kuususia uchaguzi wa bunge
Bunge la Kenya lampinga Bw. Aron Ringera
Nchini Kenya Naibu Mkurugenzi wa tume ya kupambana na ufisadi Dr. Smokin Wanjala amejiuzulu.Hii ni kufuatia hatua ya uteuzi wake, pamoja na mkurugenzi mkuu wa tume hiyo Bw. Aron Ringera kupingwa na bunge.
Wakurdi wa Irak wapiga kura kumchagua rais mpya na bunge
Umoja wa Mataifa waonya dhidi ya kura ya maoni kuhusu eneo la Kirkuk
Lebanon baada ya uchaguzi wa bunge
Mtihani mgumu kwa Lebanon baada ya uchaguzi
Uchaguzi wa bunge la Ulaya vyama vya kihafidhina vyachelekea.
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesema leo kuwa mafanikio ya chama chake katika uchaguzi wa bunge la Ulaya umeimarisha nafasi yake ya kushinda katika uchaguzi mkuu wa Ujerumani.
Bunge la Afrika lakabiliwa na changamoto kubwa.
Ukosefu wa fedha ni moja ya vikwazo vya utendaji .
Michael Martin ajiondoa.
Baada ya kushinikizwa na wabunge wengi Spika wa Bunge la Uingereza-House of Commons Michael Martin ajing'atua.
Bunge la Tanzania lajiandaa kupitisha sheria ya watu wenye ulemavu
Sheria hiyo inatarajiwa kuboresha ulinzi wa watu wenye ulemavu na utoaji wa huduma msingi
Uchaguzi wa bunge nchini Lebanon mwezi Juni
Ushawishi wa Koo za wanasiasa waliouawa bado ungalipo
090409 Parlamentswahl Indonesien
Uchaguzi wakumbwa na machafuko katika eneo la Papua
Spika wa Bunge la DRC Vitali Kamehre ajiuzulu
Huko Katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo baada ya mvutano wa muda mrefu, hatimaye spika wa bunge la nchi hiyo, Vitali Kamehre leo hii ametangaza kujiuzulu.
Bunge la Zimbabwe kuidhinisha Marekebisho ya Katiba leo.
Bunge la Zimbabwe leo linaidhinisha marekebisho ya katiba ili kutoa nafasi ya kuundwa kwa serikali ya Umoja wa Kitaifa.
Bunge la Ujerumani lakubali wanamaji wa Kijerumani wapekekwe katika bahari ya Somalia
Wanamaji wa Ujerumani watapambana na maharamia wa meli huko Somalia
Operesheni ya kiutu, bunge la Ujerumani laidhinisha jeshi la majini kujiunga na jeshi la umoja wa Ulaya katika pembe ya Afrika.
Bunge la Ujerumani limeidhinisha jeshi lake la majini kujiunga na jeshi la umoja wa Ulaya katika kupambana na maharamia katika eneo la pembe ya Afrika.
Bunge la Ujerumani lauunga mkono mpango wa Kansela Merkel
Ni hatua ya kukabiliana na atahri msukosuko wa fedha duniani.
Zilzala ya kisiasa kufuatia uchaguzi wa bunge nchini Austria
Mizozano ya serikali ya zamani ya muungano yaitumbukiza Austria mikononi mwa wafuasi wa siasa kali za mrengo wa kulia
Siku ya mwisho ya Uchaguzi wa Wabunge nchini Rwanda
Nchini Rwanda uchaguzi wa wabunge umakamilika.Katika hatua ya kihistoria Rwanda limekuwa taifa la kwanza ulimwenguni kuwa na idadi kubwa zaidi ya wanawake bungeni kwa mujibu wa matokeo ya muda.
Raia wa Swaziland wachagua wabunge wao
Lakini vyama vya siasa baado ni marufuku
Uchaguzi wa wabunge nchini Rwanda waingia siku ya tatu
Nchini Rwanda uchaguzi mkuu wa bunge leo umingia katika siku yake ya tatu ambapo ni zamu ya vijana kuchagua wawakilishi wao.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 12 wa 13
Ukurasa unaofuatia