1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.09.2024 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

27 Septemba 2024

Israel yafanya mashambulizi mapya nchini Lebanon na kukaidi wito wa usitishwaji mapigano. Marekani yaahidi kuendelea kuiunga mkono Ukraine wakati vita vikiendelea. Kundi la RSF limesema liko tayari kutekeleza mpango wa usitishwaji mapigano nchini Sudan.

https://p.dw.com/p/4l8dQ