1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.09.2024 - Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S26 Septemba 2024

Jeshi la Sudan limeanzisha mashambulizi ya anga na makombora katika mji mkuu Khartoum leo+++Kampuni tanzu ya Millicom iliyokuwa ikimiliki kampuni ya simu ya Tigo ya nchini Tanzania imesema mmiliki wa sasa wa kampuni hiyo ya Honora Tanzania Public Limited, haikuvujisha taarifa za simu za mwanasiasa wa upinzani Tundu Lissu kwa mamlaka za serikali.

https://p.dw.com/p/4l7lA