Wataliban hawataongeza muda wa kuhamishwa watu/ Marekani imejikita katika kuondoa vikosi vyake Afghanistan/ Congo- Kivu Kusini: Shughuli za kampuni sita za china za uchimbaji madini zimesimamishwa ili kuhifadhi maslahi ya wakaazi wa vijiji kunakochimbwa dhahabu na pia kurejesha utulivu / Merkel, Zelensky waujadili mradi wa gesi wa Nord Stream 2