Jumuiya ya kujihami ya NATO ilikubaliana kuongeza idadi ya wanajeshi wake nchini Iraq/ Janga la corona limeongeza mzigo wa dola trilioni 24 kwenye deni la dunia mwaka mmoja uliopita/ Kenya: Hitilafu ya umeme kusababisha zaidi ya twiga 14 kufariki mbugani Soysambu/ Watekaji nyara wenye uthubutu wanasababisha hofu ulimwenguni kote na haswa katika njia za bahari katika Ghuba ya Guinea