Ikulu ya Urusi imesema kwamba hakuna mipango kamili ya kufanyika mkutano wa kilele juu ya Ukraine kati ya Putin na Biden/ Mawaziri wa mambo ya nje wa EU wakataa kuiwekea vikwazo Urusi/ Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania kimetoa ripoti ya mfano ya utafiti wake kuhusu matukio ya ukatili wa kijinsia wilaya ya Kinondoni/ Qatar: Mkutano wa kilele kuhusu gesi