Rais wa Marekani Joe Biden leo atahudhuria kwa njia ya video mkutano wa kimataifa wa kila mwaka kuhusu masuala ya usalama mjini Munich Ujerumani// Kizazi kipya cha waandamanaji wanaodai demokrasia nchini Myanmar ni cha watu wa aina tofauti// Mafanikio ya Uganda katika kupambana na ugonjwa wa COVID 19 yamehusisha wanasayansi na matabibu wengi wanawake.