Rais wa Ukraine ametoa wito wa kutolewa taarifa zaidi kuhusu ajali ya ndege nchini Iran. Bunge la Marekani limepitisha azimio la kuzuia hatua za kijeshi dhidi ya Iran. Maelfu ya wafanyakazi wameandamana nchini Ufaransa kupinga mageuzi ya mfumo wa Pensheni