Wanafunzi 279 waliotekwa nyara Nigeria waachiwa huru// Rais wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi leo amemuapisha Makamo wa kwanza wa Rais, Othman Masoud Othman Ikulu mjini Zanzibar// Katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mkutano wa Kitaifa wa Maaskofu wa Kongo (CENCO) umeonya kuwa raia hawatavumilia uchaguzi kuahirishwa.