1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Mtindo wa maisha

Tabia za vijana wakati wa miezi ya toba

Lilian Mtono
22 Machi 2024

Lilian Mtono anazungumza na vijaa haswa kuhusu kubadilisha mienendo ya kimaisha, wakiachana na maovu, kuwa watii, wanyenyekevu na kufanya ibada zaidi. Lakini ni kwa bahati mbaya kwamba wengi hurejea kwenye mienendo ileile ya kimaisha ya kabla ya kipindi kama hiki cha toba.

https://p.dw.com/p/4e0wT