1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
JamiiJamhuri ya Kongo

Siku ya wanawake: Wanawake Kongo watoa wito wa amani

8 Machi 2024

Wakati wanawake duniani kote wakiwa wanatafakari juu ya namna mataifa yalivyopiga hatua kumnyanyua mwanamke katika nyanja mbalimbali, kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni tofauti, wanawake wanatoa wito kwa dunia kuliangalia taifa lao na kufikia muafaka wa amani.

https://p.dw.com/p/4dIO2