1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ufafanuzi: Hali ya ukeketaji barani Afrika

6 Februari 2024

Umoja wa Mataifa una lengo la kukomesha kabisa mila ya ukeketaji mwishoni mwa muongo huu. Lakini je, Afrika inasonga mbele katika kumaliza aina hii ya ukatili, ambao unaathiri wanawake takriban milioni 200 duniani kote?

https://p.dw.com/p/4bnFm