You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Fathiya Omar
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Fathiya Omar
Taarifa na Fathiya Omar
Mgomo wa madaktari waumiza wagonjwa Kenya
Mgomo wa madaktari waumiza wagonjwa Kenya
Baadhi ya familia zinaomboleza vifo vya wapendwa wao kutokana na kukosa huduma za matibabu katika hospitali za umma.
Umaarufu wa mitindo ya rasta za Wamasaai
Umaarufu wa mitindo ya rasta za Wamasaai
Mitindo ya Rasta kama vile dreadlocks na twists ni maarufu sana miongoni mwa wanawake katika maeneo mengi ya Afrika Mashariki. Hata hivyo, kusuka kwa ustadi na wanaume wa Kimasaai kumekuwa na mvuto wa pekee kwa baadhi ya wanawake hao. Hii imepelekea baadhi yao kuacha saluni za kawaida mtaani kwao na badala yake kwenda kwa wanaume wa Kimasaai kutafuta huduma hizo.
Fahamu zaidi kuhusu sarafu za kidijitali
Fahamu zaidi kuhusu sarafu za kidijitali
Kuna msisimko mkubwa miongoni mwa vijana kuhusu fursa za kazi mtandaoni, zinazojumuisha sarafu za kidijitali, zikiahidi tija ya haraka na malipo makubwa, lakini nyuma ya pazia hili la kuvutia, kuna changamoto kubwa zinazowosubiri. Fathiya Omar anasema kazi za mtandaoni zina faida kubwa lakini pia zina athari zake. Zaidi sikiliza Makala hii ya vijana tugutuke.
Unalifahamu vipi tatizo la Usonji?
Unalifahamu vipi tatizo la Usonji?
Ugonjwa wa Usonji au Autism ni tatizo la kibaiolojia ambalo kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, WHO, huathiri mtoto mmoja kati ya kila watoto 100 duniani. Dalili zake huanza kuonekana mapema sana, kuanzia umri wa miaka mitatu na kuendelea. Ni vigumu kugundua dalili zake. Lakini kwenye video hii unaweza kujifunza mengi.
Kwanini mahusiano ya vijana hayadumu kwa muda mrefu?
Kwanini mahusiano ya vijana hayadumu kwa muda mrefu?
Ofisi ya kitaifa ya takwimu nchini Kenya imesema nyumba moja kati ya 18 inakumbwa na mgogoro wa kuvunjika kwa ndoa.
Joto kali lina athari gani mwilini ?
Joto kali lina athari gani mwilini ?
Daktari Jalab Ashraf atowa maelezo zaidi jinsi ya kuhakikisha tunabakia imara kiafya katika kipindi hiki cha joto kali.
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo