Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG, Charles Kichere amewasilisha ripoti yake ya mwaka 2022/2023 kwa Rais Samia Suluhu Hassan+++Maafisa nchini Madagascar wamesema watu 11 wamekufa baada ya kimbuga Gamane kuipiga nchi hiyo+++Ukraine inaimarisha hatua za usalama katika mji wake mkuu wa Kyiv