Israel imefanya mashambulizi ya anga na kushambulia takriban nyumba nne huko Rafah+++Wawekezaji kutoka China na kwingineko duniani wametakiwa kuchangamkia fursa za uwekezaji zilizo jijini Dar es Salaam+++Watu kumi na mbili waliokimbia vita vya M23 wamepoteza maisha yao kusini mwa eneo la Lubero na Kanyabayonga