1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanafunzi wa Vyuo Vikuu na tatizo la mikopo Tanzania

Josephat Charo Nyiro11 Mei 2016

Pamekuwa na malalamiko miongoni mwa wanafunzi wa Vyuo Vikuu Tanzania, kwamba pesa za mikopo zinacheleweshwa na vigezo vya kutoa mikopo vibadilishwe. Boniphace Maiga Juma, mwenyekiti wa baraza la marais wa vyuo vikuu Tanzania, anazungumzia suala hilo na DW.

https://p.dw.com/p/1Ij1a