Mwekezaji mwanamke nchini Rwanda amejizatiti kuwapa ajira watu wenye virusi vya Ukimwi
Sylivanus Karemera 16 Juni 2015
Idadi kubwa ya wafanyakazi wa bibi huyo mwenye kiwanda cha kutengeneza uyoga mjini Kigali ni wanawake. Na wengi wa wanawake hao wanaishi na virusi vya Ukimwi.